KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 1, 2016

MABONDIA WASAINI MKATABA WA KUZICHAPA MWEZI MEI

Bondia THomasi Mashali kushoto akisaini mkataba mbele ya katibu mkuu wa chama cha gumi za kulipwa PST Anton Ruta kwa ajili ya mpambano wake  wa ubingwa wa Dunia na muirani Sajjad Mehrabi utakaofanyika Mei 14 katika uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia THomasi Mashali katikati akisaini mkataba mbele ya katibu mkuu wa chama cha gumi za kulipwa PST Anton Ruta kwa ajili ya mpambano wake  wa ubingwa wa Dunia na muirani Sajjad Mehrabi utakaofanyika Mei 14 katika uwanja wa ndani wa taifa kushoto ni bondia Fransic Miyeyusho Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ramadhani Shauli kushoto akisaini mkataba wa kuzipiga Mei 14 na bondia Salim Salim kutok Malawi katikati ni katibu mkuu wa chama cha gumi za kulipwa PST Anton Ruta na kocha wa bondia huyo  Cristopher Mzazi
Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ramadhani Shauli akisani mkataba wa kuzipiga na Salim Salim kutoka Malawi Mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa kulia ni kocha wa bondia huyo  Cristopher Mzazi
Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment