MFUKO WA PENSHENI LAPF YAKABIDHI MSAADA WA MABATI 300 SHULE ZA WILAYA YA GEITA
Mkuu
wa Mkoa wa Geita Meja Generali Mstaafu Ezekiel Kyungu akishuhudia
mabati yaliyotolewa ma Mfuko wa Pensheni LAPF kwa ajili ya ujenzi wa
madarasa wilayani Geita ikiwa jitihada za Mfuko wa LAPF kuunga mkono
jitihada za Serikali kutoa elimu bure. Jumla ya mabati 300 yenye thamani
ya Shs. 7,000,000/= yalikabidhiwa.
Mkuu
wa Mkoa wa Geita Meja Generali Mstaafu Ezekiel Kyungu akikagua mabati
yaliyokabidhiwa kama msaada na mfuko wa Pensheni wa LAPF wilayani Geita,
kulia ni Meneja Masoko wa Mfuko wa LAPF Bw. James Mlowe wengine ni
maofisa kutoka wilaya ya Geita.
No comments:
Post a Comment