KatIbu
Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimkaribisha Katibu Mkuu wa Chama cha
CNDD-FDD, Evariste Ndayishimiye, leo Oktoba 1, 2016, katika Ofis Ndogo
ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuwa
na mazungumzo baina ya viongozi hao kuhusu uhusiano wa vyama hivyo ya
CCM na CNDD-FDD. Kushoto ni Mnadhimu Mkuu wa CNDD-FDD, Gelase Ndabirabe.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mnadhimu Mkuu wa Chama
cha CNDD-FDD, Gerase Ndabirabe. Kushoto ni Kaimu Balozi wa Burundi
nchini, Prefere Ndayishimiye
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Kaimu Balozi wa Burundi
hapa nchini Prefere Ndayishimiye alipokuwa akiupokea ugeni huo wa
Katibu Mkuu wa CNDD-FDD
Msemaji
wa CCM Christopher Ole Sendeka akisalimiana na Katibu Mkuu wa chama cha
CNDD-FDD cha Burundi Evariste Ndayishimiye ugeni wa Katibu mkuu huyo
ulipowasili leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es
Salaam. Wapili kulia ni Balozi David Kapya.
Kataibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpeleka Ofisini kwake, Katibu Mkuu
wa Chama cha CNDD-FD cha Burundi baada ya kuwasili kwa ajili ya
mazungumzo. Kushoto ni Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka
No comments:
Post a Comment