KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 1, 2016

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AKABIDHIWA RIPOTI YA UKAGUZI WA MANUNUZI YA UMMA KATIKA MWAKA WA FEDHA 2015/2016.

mpe2
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (kushoto), akitoa taarifa aya ripoti hiyo mbele ya waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kwenye makao Makuu ya Mamlaka hayo, Jijini Dar es salaam, Septemba 30, 2016. Kulia kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Dkt. Laurent Shirima
mpe3
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, akizungumza baada ya akukabidhiwa nakala za  Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016 na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (Kulia). Makabidhiano yamefanyika Wizarani Jijini Dar es Salaam, Septemba 30, 2016
mpe4
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (kushoto), akitoa taarifa aya ripoti hiyo mbele ya waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kwenye makao Makuu ya Mamlaka hayo, Jijini Dar es salaam, Septemba 30, 2016. Kulia kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Dkt. Laurent Shirima na kushoto kwake ni Wajumbe wa Bodi hiyo Dkt. Leonard Chamriho ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi) na Dkt. Edmund Mndolwa.
(Picha zote na Wizara ya Fedha na Mipango)
mpe5
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, akikabidhiwa Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016 na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga. Makabidhiano yaliyofanyika Wizarani jijini Dar es Salaam, Septemba 30, 2016

No comments:

Post a Comment