KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 11, 2016

KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI PROFESA JUSTIN NTALIKWA AFANYA ZIARA KATIKA KITUO CHA SOMANGA FUNGU – LINDI

nta1
Mtaalam kutoka  kituo cha kupokea  gesi kutoka Madimba na Songosongo kabla ya kusafirishwa kwenda Dar es Salaam cha Somanga Fungu,  Mhandisi Kelvin Kasian (kulia) akimwonesha Katibu Mkuu wa Wizara  ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kushoto) mabomba ya gesi katika kituo  hicho. (hayapo pichani)
nta2
Mabomba ya kupokea gesi kutoka Madimba na Songosongo kabla ya kusafirishwa kwenda Dar es Salaam katika kituo cha Somaga Fungu kama yanavyoonekana pichani.
nta3
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) Mhandisi Kapuulya Msomba (kushoto) akifafanua  jambo kwa  Katibu Mkuu wa Wizara  ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa  (katikati) katika kituo cha kupokea  gesi kutoka Madimba na Songosongo kabla ya kusafirishwa kwenda Dar es Salaam cha Somanga Fungu.

No comments:

Post a Comment