KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 10, 2016

KONGAMANO LA SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO KIKE LIMEFANYIKA MKOANI SHINYANGA JANA

new-picture-29
Washiriki wa Kongamano la Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike wakiwa katika picha ya pamoja jana na baadhi ya watoto wa kike wanaodhaminiwa masomo yao na mashirika yasiyo kuwa ya kiserikali mara baada ya uzinduzi wa kongamano hilo jana Mjini Shinyanga
new-picture-31
Watoto wanaodhaminiwa na  shirika la Fema mkoani Shinyanga wakitumbuiza katika Kongamano la Siku ya Kimataifa ya Mtoto w a kike  lilofanyika katika Kijiji cha Kizumbi nje kidogo ya Manispaa ya Shinyanga
new-picture-32
Wafanyakazi wa Wizara ya Afya ,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto pamoja na wadau kutoka mashirika yasiyokuwa ya kiserikali wakiwa katika picha ya pamoja na Wanakijiji cha Kizumbi nje kidogo ya Manispaa ya Shinyanga walioshiriki Kongamano la Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike liliofanyika jana katika kijiji hicho.
new-picture-33
Wasanii wa ngoma za asili za kisukuma wakitoa burudani katika Kongamano la Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike lilofanyika katika Kijiji cha Kizumbi nje kidogo ya Manispaa ya Shinyanga jana

No comments:

Post a Comment