KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 10, 2016

WAZIRI PROFESA MBARAWA AMKALIA KOONI MKANDARASI

koo1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa mkandarasi wa Kampuni ya Chongqing Foreign Trade and Economic Cooperation (Group) kutoka China anayejenga barabara ya Tabora-Nyahua yenye urefu wa KM 85 alipokagua kipande cha barabara ya Tabora mjini chenye urefu wa KM 6, mkoani Tabora.
koo2
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akipokea taarifa ya maendeleo ya mradi wa barabara ya Tabora-Nyahua kutoka kwa Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), mkoa wa Tabora Eng. Damian Ndabalinze, alipokagua kipande cha barabara ya Tabora mjini chenye urefu wa KM 6.
koo3
Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), mkoa wa Tabora Eng. Damian Ndabalinze, akionesha hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa barabara ya Tabora- Sikonge (Usesula) yenye urefu wa KM 30 kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa.

No comments:

Post a Comment