KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 8, 2016

MFANYABIASHARA ASHINDA LORI LA KINYAGI

kog1
Mfanyabiashara wa kampuni ya Stewart Jacob Ulomi, Grace Ulomi akiwapungia mkono wafanyabiashara wenzake waliokuwa wakiwani gari lenye thamani ya Sh56 milioni katika mchezo wa bahati nasibu uliochezeshwa na kampuni ya Konyagi, baada ya kuibuka kidedea na kunyakua gari hilo. Mchezo huo uliwashirikisha wafanyabiashara wa Konyagi wapato 25 kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Pwani, lilifanyikia Jijini Mbeya.
kog2
Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Konyagi, Devis Deogratius (wa pili kutoka kulia) akimpongeza mfanyabiashara wa kampuni ya Stewart Jacob Ulomi, Grace Ulomi baada ya kuibuka mshindi wa  gari  lenye thamani ya Sh56 milioni kutoka kampuni ya hiyo  katika mchezo wa bahati nasibu uliochezeshwa na kampuni  hiyo.
kog3
Mshindi akifungua mlango wa gari baada ya kukabidhiwa huku akishuhudiwa na maofisa wa TDL 
kog4
Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Konyagi, Devis Deogratius (wa pili kutoka kulia) akikabidhi  katoni ya Konyagi mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya mchezo wa bahati nasibu uliochezeshwa na kampuni hiyo

No comments:

Post a Comment