KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 12, 2016

MZABUNI BARABARA YA OLJORO-MURIET KIKAANGONI

baq1
Mkuu wa Mkoa wa Arusha (mbele kulia) akikagua ujenzi wa barabara ya Friends corner –Muriet inayojengwa kwa kiwango cha Lami kupitia mradi wa Mpango Mji Mkakati (TSCP) unaotekelezwa na Tamisemi. Barabara hiyo itajengwa kwa urefu wa Km 6.5
baq2
Kupitia Ziara hiyo pia Mkuu wa Mkoa wa Arusha alisikiliza kero za wananchi wa eneo la soko Mjinga Kata ya Sokoni 1 ambapo kero kubwa ilikuwa ni kufungwa kwa barabara kutokana na ujenzi holela
baq3
Kutoka Kulia ni Mhandishi wa Ujenzi Jiji Eng. Gaston Gasana akifuatiwa na Mhandisi Mshauri wa Mradi wakielezea kazi zitakazofanyika katika Mradi huu.

No comments:

Post a Comment