KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 9, 2016

NEC KUBORESHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA MWAKANI

tva1
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akiwa kwenye studio za televisheni ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) visiwani Zanzibar kutoa elimu ya mpiga kura juzi.
tva2
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akifafanua jambo kwenye studio za televisheni ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) visiwani Zanzibar wakati akitoa elimu ya mpiga kura juzi.
tva3
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akifafanua jambo kwenye studio za televisheni ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) visiwani Zanzibar wakati akitoa elimu ya mpiga kura juzi.Kushoto ni muandaaji wa vipindi wa ZBC, Salha Mohamed akiongoza kipindi cha Alasiri Yetu

No comments:

Post a Comment