
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya
Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akiwa kwenye studio za
televisheni ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) visiwani Zanzibar
kutoa elimu ya mpiga kura juzi.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya
Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akifafanua jambo kwenye
studio za televisheni ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) visiwani
Zanzibar wakati akitoa elimu ya mpiga kura juzi.



No comments:
Post a Comment