
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa
na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye ( wa pili kulia) akifurahia jambo na
Naibu Spika Mhe. Tulia Ackson (kulia) wakati wa KUFUNGA Tamasha la
Utamaduni la Tulia Tradition Festival 2016 liliofanyika wilayani Rungwe
mkoani Mbeya leo Oktoba 08,2016.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa
na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye ( katikati) akicheza moja ya ngoma za
kiutamaduni Wwakati wa kufunga Tamasha la Utamaduni la Tulia Tradition
Festival 2016 liliofanyika wilayani Rungwe mkoani Mbeya leo Oktoba
08,2016 kulia ni Naibu Spika Mhe. Tulia Ackson na kushoto ni Katibu
Mtendaji BASATA Geodfrey Mngereza.


No comments:
Post a Comment