
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kushoto), akiangalia taarifa
zinazoingia katika mfumo wa kuhifadhi kumbukumbu alipofanya ziara ya
kushtukiza katika Kituo mahiri cha kuhifadhi Kumbukumbu cha Taifa
(Internet Data Centre), kilichopo eneo la Kijitonyama jijini Dar es
salaam.

Msimamizi wa masuala ya TEHAMA
Bw. John Chorai (kulia), akimuonesha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kushoto), namna kifaa cha kurekodia
malipo kinavyofanya kazi wakati alipofanya ziara ya kushtukiza katika
Kituo mahiri cha kuhifadhi Kumbukumbu cha Taifa (Internet Data Centre),
kilichopo eneo la Kijitonyama jijini Dar es salaam.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (wa pili kulia), akikagua moja ya
kifaa cha kuhifadhi Kumbukumbu katika kituo Mahiri cha Internet Data
Centre cha Taifa kilichopo eneo la Kijitonyama jijini Dar es salaam.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (wa kwanza kushoto), akifafanua
jambo kwa watumishi wa kituo Mahiri cha kuhifadhi Kumbukumbu cha Taifa
(Internet Data Centre), kilichopo eneo la Kijitonyama jijini Dar es
salaam wakati alipofanya ziara ya kushtukiza kituoni hapo.


No comments:
Post a Comment