KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 2, 2016

WANANCHI WAASWA KUTOA USHIRIKIANO KWA UTAFITI WA UKIMWI.

da1
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhandisi  Mathew J Mtigumwe akifungua mkutano wa wadau wa utafiti wa viashiria na matokeo ya Ukimwi.
da2
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano kutoka shirika la Icap Mama Mihayo Bupamba akitoa mada katika kikao cha wadau wa utafiti wa viashiria na matokeo ya Ukimwi.
da3
Wadau wa utafiti wa viashiria na matokeo ya Ukimwi wakisikiliza kwa umakini kikao cha utafiti huo.
da4
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhandisi  Mathew J Mtigumwe (katikati) akifuatilia mada katika mkutano wa wadau wa utafiti wa viashiria na matokeo ya Ukimwi kushoto kwake ni katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Utawala na Rasilimaliwatu Buhacha B. Kichinda na Kulia kwake ni Kaimu Meneja wa ofisi ya Takwimu Mkoa wa Singida Naing’oya Kipuyo.

No comments:

Post a Comment