KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 6, 2016

WATAALAMU WA MAJENGO WA DIT KUFANYA UTAFITI UHARIBIFU WA MAJENGO KAGERA.

jeng1
Mkurugenzi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brigedia Jenerali Mbazi Msuya akiongea na Wataalamu wa majengo kutoka Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT), (hawapo pichani) ambao wapo mkoani Kagera kufanya utafiti wa uharibifu wa majengo uliosababishwa na tetemeko la ardhi ili kujua hali halisiilivyo hadi sasa.
jeng2
Mkurugenzi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brigedia Jenerali Mbazi Msuya akiongea na Wataalamu wa majengo kutoka Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT) wakiongozwa na Mhandisi Dkt. Johnson Malisa (wa kwanza kulia) ambao wapo mkoani Kagera kufanya utafiti wa uharibifu wa majengo uliosababishwa na tetemeko la ardhi ili kujua hali halisiilivyo hadi sasa. Wa kwanza kushoto ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Nesphory Bwana akifuatiwa na Dkt. Asinta Manyele na Mhandisi Dkt. Johnson Malisa wa DIT

No comments:

Post a Comment