KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 3, 2016

WAZIRI MWIJAGE AENDA BUKOBA KUJIONEA ATHARI ZA TETEMEKO

01
Waziri Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage akiongea na baadhi ya Wanakamati ya Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu wakati alipotembelea ofisi za idara hiyo leo mjini Bukoba.  Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brigedia Jenerali Mbazi Msuya
02
Mkurugenzi Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brigedia Jenerali Mbazi Msuya akifafanua jambo kwa Waziri Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles (kushoto) wakati alipomtembelea ofisini kwake leo mjini Bukoba alipokwenda kujionea hali ya urejeshwaji wa miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi.
03
Waziri Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage akisaini kitabu cha wageni ofisi ya Idara ya Kuratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu wakati alipotembelea ofisi za idara hiyo leo mjini Bukoba alipokwenda kujionea hali ya urejeshwaji wa miundombinu iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi. 
(Picha na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Bukoba)

No comments:

Post a Comment