Rais John Magufuli na Rais Yoweri Museveni wamesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Ohima, Uganda hadi Tanga.
Akizungumza
leo Ikulu wakati wa utiaji saini mkataba huo, Magufuli amesema
walikuwepo matapeli wengi wakati wa mchakato wa ujenzi wa bomba hilo na
kuwa anafurahia zaidi kuingia mkataba huo na Uganda.




No comments:
Post a Comment