Waziri
wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mnyaa
Mbarawa(katikati)akiwashuhudia Afisa Mtendaji Mkuu (CEO), wa Mfuko wa
Mawasiliano kwa Wote (UCSAF),
Mhandisi. Peter Ulanga, (kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom
Tanzania PLC, Bw.Ian Ferrao, wakibadilishana hati baada ya kusaini
mkataba utakaowezesha kusambaza Mawasiliano kwa wote hususani vijijini.
UCSAF imesaini makubaliano na makampuni yote ya
simu nchini kwenye hafla iliyofanyika makao makuu ya Mfuko huo jijini
Dar es Salaam juzi |
No comments:
Post a Comment